Who am i(mimi ni nani)
Benchrys
No 2
.niliitika naam ilikumsikiliza ambacho anataka kunambia kwa mda ule lakini bado hakuweza kusema chochote nikahisi hapa baba kuna kitu lazima ananificha hataki kuniambia na ni kwanini hatakama nilikuwa mdogo sana lakini niliweza kugundua hicho kitu ila sikutaka kumuuliza kwanini ananificha baada ya hapo baba akaondoka na kuingia kule ndani bila hata kusimama ishara ya kusita na kisha akakaa mda kidogo na kutoka tena nje, baada ya hapo tulifanya kinachotupasa hadi inaingia giza utaratibu kwa mda huo ukazoeleka licha ilikuwa ni ngumu sana baba anapoenda kazini lazima na mimi niwe nyuma hadi nilipoanza kukuakua ndipo niliachwa nyumbani pekeyangu kisha nilipelekwa shuleni kuanza awali miaka ilienda hadi nilihitimu shule ya msingi na kuchaguliwa katika shule ya kata yetu.
Siku moja mwalimu wakiswahili alitoa kazi ya kuandika historia ya maisha kiufupi ila alikazia kusema kwamba iwe inahusu sana wazazi wako vingine hata havitaki viwepo katika historia hiyo, kati ya siku ambazo niliona mwalimu ametoa mtihani mgumu ilikuwa ndio ile siku maana kazi ilikuwa na masharti ya kutosha kwamba tumiakaratasi zaidi ya nne kwa upande wangu nikijiangalia mwandiko wangu ni mdogo kana kwamba katika historia yangu naweza nikaandika tuu mistari hata kumi isifike kiufupi cha kuandika sikujua sana lakini sikuwa na namna niliandika kinacho takiwa nikiandike. Ulifika mda wa mwalimu kuja ili azipitie zile kazi ambazo alitupatia ili tuweze kuzifanya watu walijaza karatasi nne upande na upande lakini mimi niliandika hata nusu ya karatasi moja haikufika kitendo ambacho wanafunzi wengi waliokuwa jirani na mimi pale darasani walianza kushangaa na kuniuliza kuwa ninautani na mwalimu..
****ok nadhani huu ndio mda wa kila mwanafunzi kuja hapa mbele tutaenda upande kwa upande, haya tuanze na upande upi,,aliongea vile mwalimu na kuwaachia wanafunzi waanze makelele ya kuchagua upande wa kuanza zilikuwa kelele kama dakika mbili kisha uamuzi ukatolewa kwamba upande wa mlangoni ndio unaoanza na upande huo ni upande ambao hata mimi nilikuwa nikikaa alitoka msichana mmoja kwa jina la Katherine ambapo wengi tulizoea kumwita cath akaenda mbele kwa mbwembwe za kutosha na kuanza kutoa historia yao huko nyumbani wengi walipiga makofi baada ya yeye kumaliza kutoa ile historia yake kisha akarudi kukaa kwenye dawati lake la kwanza huku akifuatiwa na mwenzake jully ambapo nae alitoa hisoria yake nae wakampigia makofi zamu iliyofuata ilikuwa ni zamu yangu bon kama nilivyo sajiliwa huko shuleni karatasi ile niliyoiandika historia yangu sikuichukua nikaiacha palepale kwenye meza yangu na kuenda mbele hukunikiwa mikono mitupu mwalimu alingaka na kusema bon utani na wanafunzi kama wewe hata sihitaji niligawa karatasi za kutosha ili kila mmoja aandike historia yake,,aliongea hivyo yule mwalimu na kumalizia kuwa rudi kwenye meza yako na uichukue hiyo karatasi
Sikuwa na namna nikarudi kwenye meza yangu na kuchukua ile karatasi kisha nikaenda nayo mbele ilikuwasomea wanafunzi historia yangu
//historia yangu hakuna ambae ilimpa furaha zaidi ya masikitiko na maswali kibao ambayo hata mimi mwenyewe majibu yake siyaelewi laiti wangeamua kuniuliza
Nilipokuwa nikianza kusoma historia mwalimu alikuwa kasimama lakini nilipomaliza ile historia mwalimu alikuwa kakaa kwenye meza yangu kama mwanafunzi huku akionyesha ananifuatilia kwa umakini sana baada kumaliza alisimama na kuvuta pumzi ndefu kisha akasema ok inatosha njoo kwenye meza yako na ndio maana ya kwenda mbele bila karatasi
_______miaka ilikatika nilhitimu kidato cha nne lakini sikufanikiwa kuendelea----
Baada ya hapo baba alinishauri kurudia kufanya mtihani lakini roho yangu iligoma kabisa nikamjibu kwamba labda niende veta hakupinga kisha nikaanza kusoma
,,,,,miaka mitatu ilikatika karibia kumalima yale mafunzo ya vet course ya umeme wiki moja likiwa limebaki baba alinifuata na kuniambia nafahamu nini kuhusiana na mama yangu nikamjibu kwamba sijui lolote maana tangu aondoke nikiwana miaka mitatu sikuweza kumwona lakini nilikuwa tuu na kumbukumbu kuwa aliondoka baba akasema ukihitimu nitakupa maelezo yote, kwakuwa aliniahidi yeye mwenyewe sikuwa na la zaidi nilikubaliana nae na kuondoka
siku ya kukaribia na mahafari yetu pale shuleni kila mtu alikuwa bize na yake ambapo mimi nilienda mjini kwa aajili ya kutafuta baadhi ya mahitaji, nikiwa sina hili wala lile kuna gari ilikuja na kusimama mbele yangu huku mle ndani kukiwa na sura ya baba yangu naiona akaniita niingie mle ndani ya gari. Sikuleta ubishi nikaingia ndani na kukaa kwenye nafasi niliyoonyeshwa kisha gari ilianza kuondoka,, tulitembea umbali fulani kisha nikaona yule mwenye sura ya baba yangu mzazi kama anavuta nywele zake baada ya mda alitoa zile nywele na kuweka pembeni nilipomuangalia haikuwa sura ya baba tena.....itaendeleaaaaaa
benchrys.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni