Jumapili, 28 Agosti 2016

De 19

Gangstar noma
By: benchrys
19

………wewee unala hadi muda kama huu ukija kwangu hata siku nyingine kama utakuwa umejisikia mwenzenu anasema hapa kazi tu ila kwangu tofauti hapa ni mazoezi tuu maana hii ndo chai kabla ya chochote kilelazima nianze nayo asubuhi sasa nifate twende kule mlimani,,,, aliongea maneno hayo babu kishanikaanza kumfuata kikwelimda ule wote nilikuwa bado nina akili zangu za usiku kwa hiyo niliona ni kama ananipanga mambo ambayo hata hayako kwenye mudi zangu kwa wakati ule nilitembea kivivuvivu lakini akanilazimisha tuanze kukimbia ‘’’’’’ ah babu ee inamaana mazoezi si kule mlimani au tunaanza hukuhuku tena
      We acha maswali mengi hebu twende kazi utaiona hukohuko wewe haiwezekani ukawa eti unakuwa mwoga mwoga kama nini sijui….. aliongea vile babu kisha tukaanza kukimbia hadi tulifika kule mlimani nilikuwa nikihemeana mdomo wazi kama mbwa ambae ananjaa halafu jua kali dddduh we kijana utakufa hebu bana pumzi hiyo hujui unapoteza nguvu baada ya yeye kuongea vile ndipo nikajua hapa inaonekana zile muvi za kichina ninazoziangaliaga leo ndio nitashuhudia kweli hadi akina doniyen jinsi wanavofanyaga mazoezi yao
Basi nilisogea mbele kidogo nikiwana babu ndipo nilipoweza kuona miti imechomekwa chini ya ardhi na kuzungushiwa kamba fulani ngumu babu akanambia badilisha hizo nguo zako kisha zivae hivi hapa kisha aknirushia manguo fulani ni mazito kama gunia lililo lowa na maji kwakuwa sikuwa na ujanja ilinilazimu niivae tuu kugonja jambo ambalo linafuatia sikaniambia kuna mazoezi kisha akasimama kwenye kilima kidogo na kuniita akaniambia inatakiwa tukimbie hadi kuifikia ile alama ambayo unaiona pale aliponiambia kukimbia nikajisemea kama kukimbia hapa amefika mwenyewe najua kukimbia vizuri tu……… safari ikaanza tulikimbia umbali mrefu kweli hadi mwenyewe nikashangaa mbona lipoonyesha niliona kama alama ipo jirani sana halafu mpaka saizi hatufiki tuu hapo
Babu, babu, babuu mi sinakuita nilimwita babu huku tukiwa tunakimbia vile lakini hakutaka kuitika na mimi nilikata shauri niliendelea tuu kukimbia baada ya dakika kamam thelathini tukawa tayari tushaion aile alama ndipo wote tulisimama nikamuuliza babu ivi hii alama inatembea na yenyewe au mbona tumefika mbali sana hadi daah babu alinijibu haitembei isipokuwa huu ndio umbali ambao hii alama ipo tusipoteze mda inatakiwa turudi nyumbani tukapate kifungua kinywa,,,, daaah tupumzike kwanza babu akaijibu ungekuwa mwenyeji haya maeneo haya ningekuacha upumzike lakini hapa ili eneo hulijui hata kidogo mimi naondoka utajua mwenyewe babu akasimama kama utani nakuanza kuondoka, baada ya kuona babu anaondoka ikanibidi na mimi nishike njia huku nikiwaza dah kwa umbali huu sinitafika hata maji mwilini hakuna ila hakuna lolote acha tuu niamshe na mimi nilikimbia kwa kasi kidogo nikamkuta akasema nilidhani unabaki siumesema unapumzika wewe au hapana ningebaki halafu nirudi na nani nyumbani

Tukiwa tumefika nyumbani tayari hata sikuwa na  hamu ya kula maana wanasema bora ukimbie mbio ndefu ndefu kuliko kubip kukimbia maana itakukost mwenyewe kwa hiyo nilipofika nyumbani hata sikitulia nikaendelea kupasha miguu kwa kuruka ruka baada ya mda kidogo nilitulia na kupata kifungua kinywa kisha tuliendelea na mazoezi kama alivoniambia mwanzo safari hii akanambia inatakiwa upasue maboga haya kwa mguu wako yaani nipige teke boga hadi linapasuka,, aliponiambia vile nikaona huu utani nikamuuliza babu ivi wewe unaweza kufanya hicho ambacho unanambia mimi nikifanye babu akanambia hivo vyote mimi naweza ndo maana nakwambia ufanye
Awe basi onyesha mfano nilikuwa nikiongea yale kwasababu maboga yale yalikuwa yapo juu kwangu mimi yaliniishia kwenye kichwa na kwa babu ilikuwa ni zadi maana yeye hakuwa mrefu kama mimi….. babu alikunja suruari yake kidogo kisha akjivuta na kupiga zinga la teke kwenye lile boga ambalo lilikuwa karibu nae kisha akanigeukia na kunambia huo nimfano ambao umehitaji sasa kazi ni kwako nakupa dakika therathini uwe umepiga maboga matano, baada ya kusema vile yeye akaondoka alienda wapi hata sifahamu mimi nikawa naendelea kujaribu kupiga yale maboga lakini hadi zilifika zile dakika alizoniambia ilikuwa bado hata boga moja sijafanikiwa kupiga na yeye ndio alikuwa anarudi nikiwa sina hili wala lile nilipiga miguu nikajikuta tayarai nishapiga magoti chini kisha akasema fata ninacho kifanya mimi nae alikaa chini akawa kama anataka kulamba ardhi kwa ulimi wake jambo ambalo haliwezekani na mimi nikajaribu lakini sikuweza kufikia kadri yeye alivyo fanya ndipo akanyanyuaka na kuja kunigandamiza mgongoni kwa nguvu nilitamani nilie lakini nilijikaza kiume tuu nilikaa vile kama dakika kumi ivi kisha nikawa kama tayari nishazoea hivi baada ya nikawa kama yeye alivofanya
Alisimama kwenda kungalia yale maboga kisha akasema inamaana hata moja tuu hujapiga niliitikia kwa kuogopa ndi-i-i—oo sijapiga maana nilijua iliniweze kuna mazoezi ambayo yatahitajika akasema sasa utaweza kwa nguvu tuu njoo huku nilimfuata akasema pitia kwa huko nilifuata alichoambia,,, ile njia niliyopita kumbe aliweka mitego ya kamba sijui maana nilipokuwa nikipita nilikanyaga vibaya nikavutwa juu kwa haraka tena kila mguu na kamba yake kisha akaja huku akiwa anacheka akanmbia kijana umakini ni kitu cha muhimu sana kisha akaondoka hapo ndio nilipoanza kutoa sauti ya kilio maana zile kamba zilizo nifunga naning’inia kila kamba ilianza kuvuta mguu wake kwa upande wake maumivu niliyoyapata hata asiulize mtu yeyote nilivutwa hadi miguu ikawa imenyooka kote baada nikawa nimetengeneza kama T nilibaki kama nusu saa tena kilio kilitulia kisha nilibaki vilevile hat sauti ya kuita babu sikuona kama kutakua na msaada wowote nilibaki tu nimetulia vile hadi maumivu yalipotulia lakini yalipotulia kamba ilirudishwa halafu ikavutwa tena kama kunitonesha hivi,, kwa wakati huu hata maumivu hay kuwa kama pale mwanzo niliona kama nisawa tuu niliwekwa vile kama dakika tano kisha nikaachiliwa tena kwa kulegezewa kamba ile ikanishusha hadi chini mwanzo nilipata shida sana kuanza kutembea ila baada ya mda nikawa safi kabisa baada ya hapo bau akaja na kusema nadhani saizi utaweza kupasua hayo maboga ila subiri kuna ile miti inatakiwa ukomazie miguu yako utakuwa ukipita ngumi na mateke nayo hadi utakapo fanikiwa kuvunja hata miti mitatu tuu safari hii nakuhurumia baada ya yeye kuongea vile niliitikia sawa kinyonge halafu nikaenda kuanza kupigana na miti ile miti yenyewe hata haitikisiki nikataka nimwambie anipe mfano napo ila roho ikasita nikaendelea kufanya peke yangu baada ya mda wamasaa akaja kuniita kwaajili ya chakula niliondoka na kumfuata huku mikono namiguu ikiwa inaniuma vibaya mno nilienda hadi ndani na kula kibishi hivo maana huku sidhani kama  kuna kudeka kwa yeyote yule

*****nikiwa nimekaa simu yangu ilianza kuita niliipokea nikasikia sauti ya mtu akiwa analia na haikuwa namba ya mtu mwingine alikuwa ni Naomi
;;haloo we naomi unalia nini
;;hallow mama  hukua anaumwa inatakiwa uje haraka iwezekanavyo, baada ya naomi kuongea vile nikajisemea dah sasa hapa inakuwaje sasa sehemu yenyewe niliyoko hata siifahamu sema tuu namtegemea huyu babu hapa sasa hapa nitafanyaje kurudi nyumbani,,,,,,nilijisemea hayo yote moyoni mwangu bila kupata msaada wowote baada ya mda tena simu yangu ikaita nilijua labda ni naomi anapiga tena niitazama simu ndipo nikaona……itaendeleaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

benchrys.blospot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni